Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

11.12.2018

11.12.2018

Pakua

Leo ni siku ya milima duniani. Umoja wa Mataifa unapigia chepuo maeneo hayo kwa kaulimbinu milima ni muhimu. Biashara mtandaoni ikiwezeshwa yaweza kuliinua bara la Afrika  yasema UNCTAD, Mradi wa Benki ya Dunia Niger wakomesha hamahama ya wananchi kutokana na ukame.

Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
12'19"