Mambo matano ya kuharakisha uwezeshaji wa wanawake kiuchumi: UN Women
Kuwekeza kwa wanawake kunanufaisha wanawake na jamii kwa ujumla. Limesema shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya wanawake UN Women.
Kuwekeza kwa wanawake kunanufaisha wanawake na jamii kwa ujumla. Limesema shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya wanawake UN Women.
Ufadhili zaidi unahitajika kusaidia nchi zinazoendelea za visiwa vidogo SIDS, vilivyo katika mstari wa mbele wa mabadiliko ya tabianchi, amesema Jumamosi Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres akiwa katika visiwa vya Saint Vincent na Grenada.
Ikiwa leo ni siku ya mlo shuleni barani Afrika, Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP limesema pamoja na hatua kubwa zilizopigwa katika mchakato huo ni muhimu kutambua kwamba wanafunzi wengi lazima wapewe hakikisha la mlo endelevu shuleni.
Uhalifu wa kivita, ubaguzi wa rangi, kuwekwa kizuizini kiholela na ubakaji kutumika kama silaha ya vita haya ni masuala machache tu ya kimataifa ambayo Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa hujadili.
Umewadia wakati ambapo nchi zote wanachama wa Umoja wa Mataifa zitapata fursa ya kuonesha kwamba vitendo vya mazingira vinaweza kuunganisha ulimwengu. Wakati huu ni Baraza la Umoja wa Mataifa la Mazingira, au Unea, ambalo mkutano wake wa sita utafanyika kati ya Februari 26 na Machi 1, 2024 Nairobi, Kenya.
Wakati uvamizi wa Urusi huko Bucha katika siku za mwanzo za uvamizi kamili wa Urusi nchini Ukraine, ulimalizika mnamo Machi 2022, uharibifu mkubwa ulionekana, na tume ya Umoja wa Mataifa ikihitimisha kwamba uhalifu wa kivita ulikuwa umetendwa dhidi ya raia, miaka miwili baadaye, maisha yanarudi katika mji ulio nje kidogo ya Kyiv, ambao umerejeshwa kwa msaada wa UN.
Ngamia ni mnyama muhimu katika maeneo ya ukame au baridi kali anakotumika kwa shughuli mbalimbali ikiwemo usafiri, chakula kupitia maziwa na nyama yake, kuwawezesha wanawake kiuchumi na pia kulinda mazingira.
Kabla ya kusikilizwa kwa kesi iliyopangwa ya Julian Assange nchini Uingereza, ambako kuna uwezekano mkubwa atarejeshwa Marekani kwa lazima, mtaalam huru wa Umoja wa Mataifa ameelezea wasiwasi wake kuhusu uwezekano wa ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya mwanzilishi huyo wa WikiLeaks, akionya zaidi kwamba kuanathari za kesi hiyo zinaweza kuathiri kwa kiasi kikubwa uandishi wa habari duniani na uhuru wa kujieleza.
Migogoro ya kibinadamu inayoendelea kusini mwa Madagascar imezidisha hali ya watu kupata matatizo ya afya ya akili, lakini Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni WHO limekuwa likiwasaidia wagonjwa kwa kutoa ushauri wa kiakili.
Alipokuwa na umri wa miaka 18, Zekia aligundua kwamba wazazi wake walikuwa wakijitayarisha kwa siri kwa ajili ya dadake mkubwa kufanyiwa ukeketwaji.