Umoja wa Mataifa kusaidia Afrika Kusini kutokana na janga la moto katika jengo la makazi
Timu ya Umoja wa Mataifa nchini Afrika Kusini iko tayari kushirikiana na mamlaka ili kutoa msaada kwa wale walioathirika moto katika jengo lenye makazi ya watu wengi mjini Johanesburg nchini Afrika Kusini.