Mwaka mmoja tangu COVID-19 iwe dharura ya umma, bado gonjwa hilo ni tishio
Mwaka mmoja tangu ugonjwa wa Corona au COVID-19 utangazwe kuwa dharura ya afya ya umma duniani, bado gonjwa hilo limesalia kuwa hatari na kutishia siyo tu nchi maskini bali pia tajiri.