Je akili mnemba AI ni faida au athari katika sekta ya filamu?: UNESCO
Akili mnemba imebadili fani ya sanaa na utamaduni kwa njia ambazo ha ikutarajiwa. Hata hivyo mabadiliko hayo ni ya muda mrefu.
Akili mnemba imebadili fani ya sanaa na utamaduni kwa njia ambazo ha ikutarajiwa. Hata hivyo mabadiliko hayo ni ya muda mrefu.
Kifua Kikuu au (TB) ni ugonjwa wa kuambukiza ambao huathiri mapafu na kusababishwa na bakteria. Ugonjwa huu husambazwa kwa njia ya hewa wakati watu walioambukizwa wanapokohoa, kupiga chafya au kutema mate.
Kila mwaka maelfu ya wahamiaji kutoka maeneo mbalimbali ikiwemo Afrika hujaribu kufika Ulaya wakivuka bahari ya Mediterania kwa lengo la kwenda kusaka maisha bora lakini safari hiyo inaelezwa kuwa ni hatari sana kwani maelfu ya watu hufa maji au kutoweka. Evariste Mapesa anatupeleka nchini Gambia kusikia simulizi ya kijana ambaye chupuchupu apoteze maisha.
Kulingana na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, watoto wanaonyonya maziwa ya mama pekee katika miezi sita ya mwanzo ya uhai wanapiga hatua nzuri za kiafya kama anavyoelezea Kasha Mutenyo kwamba, "umuhimu wa kwanza wa kunyonyesha ni kwamba afya ya mtoto inaimarika na haugui kila wakati. Sio ghali, ni salama na hauhitaji vifaa vyovyote kumnyonyesha mtoto. Pia inamsaidia mama kupanga uzazi.”
Mradi wa kupambana, kudhibiti Ujangili na Biashara Haramu ya Nyara unaotekelezwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo duniani nchini Tanzania kupitia Jumuiya za hifadhi ya wanyamapori huko kwenye eneo la ekolojia la Ruaha Rungwa Nyanda za juu za kusini nchini humo umeanza kuzaa matunda.
Muokaji mikate mkimbi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC anawapa mkate wa kila siku wakimbizi wenzake wanaopata hifadhi nchini Burundi na wenyeji, huku akijipatia kipato kwa familia yake, na kulinda hadhi yake. Kupitia biashara ya duka la mikate au bekari aliyoifungua.