Methali: "Mwenye kelele hana maneno"
Pakua
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mkuu wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anachambua methali MWENYE KELELE HANA MANENO.
Audio Credit
Dkt. Mwanahija Ally Juma
Audio Duration
43"