Jifunze Kiswahili: Tofauti ya maneno “Adhimisha na Azimisha.”
Pakua
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu leo ni Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia tofauti ya maneno “Adhimisha na Azimisha.”
Audio Credit
Dkt. Josephat Gitonga
Audio Duration
1'