Kutana na Emmanuel, kijana mchechemuzi wa haki za mtoto
Ikiwa leo ni siku ya mtoto duniani, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limetumia siku ya leo kuonesha ni kwa jinsi gani vijana wameamua kuchukua hatua kusongesha haki za msingi za mtoto ambazo ni kuishi, kuendelezwa, kulindwa na kushirikishwa.