Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

 Katika picha hii ya maktaba WFP inagawa chakula cha msaada  katika sehemu kadhaa mjini Idlib.Un unaonya athari za mshambulio yanayosubiriwa ya serikali.
WFP/Hussam Al Saleh

Niko tayari kwenda Idlib kuwasaidia raia:De Mistura

Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya mgogoro wa Syria anasema yuko tayari kwenda Idlib kusaidia kuhakikisha usalama wa raia walio katikati ya hofu ya mashambulizi yanayotarajiwa kufanywa na serikali.

Ongezeko la operesheni za majeshi ya serikali ya Syria yanayokusudia kurejesha eneo la Idlib kunaweza kusababisha athari kubwa, amesema leo mwakilishi huo Staffan de Mistura .

Sauti
5'25"