Halahala wanachama tushikamane kuwasaidia wakimbizi wa Kipalestina:UN
Tunasikitishwa na uamuzi wa Marekani wa kusitisha ufadhili wa fedha kwa shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi wa Palestina UNRWA ambalo linawasaidia wakimbizi hao na kuchangia hali ya utulivu katika kanda hiyo, mesema Stephane Dijarric msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika taarifa iliyotolewa Ijumaa.