Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Mahojiano

UN/ Anold Kayanda

UN haiwezi kusahau Pembe ya Afrika

Ukame unaochochewa na mabadiliko ya tabianchi umesababisha watu takribani milioni 15 katika eneo la Pembe ya Afrika kukosa uhakika wa kupata chakula. Sasa Umoja wa Mataifa unafanya nini? Joyce Msuya, Msaidizi wa Katibu Mkuu na Naibu Mkuu wa OCHA anafafanua akianza kwa kueleza taswira ya njaa katika eneo hilo hususan Kenya, Ethiopia na Somalia.

Sauti
10'34"