Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

19 APRILI 2024

Ushirikiano wa kimataifa utasaidia kufanikisha kuhamia katika nishati jadidifu - Francesco La Camera.

Vijana wa Afrika lazima tuchangamkie fursa na kujifunza: Joram Nkumbi na Vivian Joseph.

Lugha ya kichina imepanua fursa za ajira kwa wanafunzi wa SAUT – Tanzania.

Audio Duration
14'40"