Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

UNMISS/Nektarios Markogiannis

Walinda amani wa Umoja wa Mataifa waendesha doria huko Tambura kwa lengo la kulinda raia

Kufuatia mauaji ya raia huko jimboni Tambura nchini Sudan Kusini katika kipindi cha miezi sita iliyopita na zaidi ya wakazi elfu 80 kulazimika kukimbia makazi yao, ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo UNMISS unaendesha doria za mara kwa mara jimboni hapo huku ukitoa ulinzi kwa

Sauti
3'7"