WFP yaema kuna maeneo 15 yanayohitaji msaada wa dharura 2020
Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP leo limeainisha maeneo 15 ambayo yatahitaji msaada wa dharura na uwekezaji kwa mwaka huu wa 2020.
Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP leo limeainisha maeneo 15 ambayo yatahitaji msaada wa dharura na uwekezaji kwa mwaka huu wa 2020.
Leo tarehe pili mwaka 2020, umeshuhudiwa uzinduzi wa mkakati wa Umoja wa Mataifa wa majadiliano makubwa zaidi ya kimataifa kuhusu mstakabali wa dunia. Ni majadiliano makubwa ya pamoja kuhusu jukumu la ushirikiano wa kimataifa katika kujenga mstakabali bora kwa wote.
Heri ya mwaka mpya msikilizaji wetu na katika Jarida letu maalum la sikukuu ya mwaka mpya 2020 hii leo Flora Nducha anakupeleka nchini Uganda kwenye kambi ya wakimbizi ya Kiangwali ambako mwandishi wetu nchini humo John Kibego anazungumza na wakimbizi mbalimbali kuangazia