Neno la Wiki- Paraganyika
Hii leo katika Neno la wiki, mchambuzi wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania-BAKITA na anafafanua neno 'Paraganyika'.
Hii leo katika Neno la wiki, mchambuzi wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania-BAKITA na anafafanua neno 'Paraganyika'.
Leo mchambuzi wetu ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anafafanua neno ambalo hutumika ndivyo sivyo“ Mgeni wa heshima."
Katika kujifunza Kiswahili, Mchambuzi Onni Sigalla wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania “BAKITA” anachambua maana na matumizi ya neno “AGHALABU” ambapo anaeleza maana mbili za neno hilo. Tofauti na ile iliyozoeleka kwa matumizi ambapo neno aghalabu hutumiwa kueleza utokeaji wa mara kwa mara wa jambo, mtaalam huyo ameongeza maana nyingine isiyofahamika sana inayohusishwa na kundi la watu katika jamii au jumuiya.
Neno la wiki limejikita katika kuichambua methali isema, 'Kijiko cha jikoni, hakiogopi moto'. Mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA Ken Walibora anasema methali hii kimsingi inaeleza dhana ya kuwa ikiwa mtu ana mazoea fulani au kazoea mazingira fulani, hayamtishi, atatekeleza analolitekeleza bila kuogopa.