Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM wazingatia machafuko katika Usomali

UM wazingatia machafuko katika Usomali

UM umeripoti ya kuwa mfumko wa mapigano yaliojiri karibuni Usomali ni tukio liliosababisha uharibifu mkubwa kihali na mali ambapo mamia ya watu walijeruhiwa na idadi isiyojulikana ya maututi walionyimwa maisha baada ya kujikuta katikati ya mashambulio baina ya vikosi vya Serekali ya Mpito (TFG) na kundi la Umoja wa Mahakama za Kiislamu (UIC).

Sikiliza taarifa kamili.