Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Flora Nducha wa UN NEWS Kiswahili
Picha ya Patrick Newman/UN News Kiswahili

Leo Umoja wa Mataifa

Katika Jarida la Umoja wa Mataifa hii leo tunaanzia huko DR Congo, ukiukwaji wa haki za binadamu wafurutu ada.

Nchini Uganda, milipuko ya homa ya Kongo na Bonde la Ufa yarejea.

Nidhamu ni sababu kuu ya mafanikio- Kiba

Vijana! Umoja wa Mataifa unasema kuwa kundi hili ndilo linalopaswa kuwa mstari wa mbele kutekeleza malengo ya maendeleo endelevu, SDGs. Hii ni kwa kuzingatia siyo tu wingi wao hivi sasa bali pia uwezo wao wa kubuni na kugundua teknolojia bora na fanisi za kufanikisha malengo hayo.

Sauti
4'11"