Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Watoto wa kike wanapokuwa ukimbizini wanakuwa na fursa finyu zaidi ya kupata elimu
Margarida Loureiro/Archive

Sasa ni wakati wa msichana- Ripoti

Wakati umefika wa kusema sasa basi na kupatia wasichana wakimbizi fursa ya kwenda shule hadi elimu ya juu ili waweze kujinasua kutoka lindi la umaskini na mateso, imesema ripoti mpya ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR iliyotolewa hii leo ikipatiwa jina, #HerTurn.

Sauti
1'46"
Flora Nducha wa UN NEWS Kiswahili
Picha ya Patrick Newman/UN News Kiswahili

Leo Umoja wa Mataifa

Katika Jarida la Umoja wa Mataifa hii leo tunaanzia huko DR Congo, ukiukwaji wa haki za binadamu wafurutu ada.

Nchini Uganda, milipuko ya homa ya Kongo na Bonde la Ufa yarejea.