Tekinolojia ya habari na mawasiliano yafufua matumaini ya wakimbizi Ujerumani
Hatua ya kutoa mafunzo ya teknolojia ya habari na mawasiliano au TEKNOHAMA kwa wakimbizi kupitia shule ya ReDi nchini Ujerumani, imefufua matumaini ya mustakhbali wao waliokuwa wameukatia tamaa.