Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Viwavi jeshi katika  mmea wa mahindi Lesotho
FAO/Lesotho/Lechoko Noko

Apu ya Nuru kumkomboa mkulima Afrika- FAO

Apu iliyopatiwa jina la Nuru na ambayo inazungumza lugha tatu; Kiswahili, Kifaransa na Twi  imezinduliwa na shirika la chakula na kilimo duniani, FAO kwa lengo la kuwezesha mkulima kubaini aina mpya ya viwavijeshi ambavyo ni tishio kwa mazao barani Afrika. 

Sauti
1'41"
Mfanya kazi katika eneo la ujenzi Luang Prabang, Jamhuri ya Kidemokrasia ya watu wa Lao.
Picha: ILO/Adri Berger

Ajira bora ni chachu ya amani na mnepo:ILO

Ajira bora na zenye hadhi zimetajwa kuwa ni chachu ya kuchagiza amani na mnepo katika jamii . Hayo yamesemwa na shirika la kazi duniani ILO kwenye mkutano wa 107 wa shirika hilo ambao leo umekuwa na kikao maalumu kilichobeba kauli mbiu “umuhimu wa ajira na ajira zenye hadhi kwa ajili ya amani na mnepo”na kujikita zaidi katika kukabiliana na hali halisi mashinani na pia katika ushirika ambao utazaa matunda.