Nimefurahi sana kupiga kura yangu leo- mwananchi DRC
Wapiga kura waliojitokeza kwenye uchaguzi mkuu wa rais, magavana, wabunge na madiwani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC hii leo wamelezea waliyopitia ikiwemo jinsi gani video yenye maelekezo ya upigaji kura kutoka Tume Huru ya Uchaguzi nchini humo, CENI imewarahisisha upigaji huo.