Chai ni sehemu ya urithi na historia yetu, Je ilianzia wapi?
Je! unajua kuwa watu wengi ulimwenguni hutumia maneno mawili sawa kwa chai? Tofauti moja ni ile inayotumika katika Kiingereza (Tea), Kifaransa (thé), Kihispania (té) na Kiholanzi (thee).
Je! unajua kuwa watu wengi ulimwenguni hutumia maneno mawili sawa kwa chai? Tofauti moja ni ile inayotumika katika Kiingereza (Tea), Kifaransa (thé), Kihispania (té) na Kiholanzi (thee).
Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi mpya leo juu ya kuongezeka kwa wakimbizi na mahitaji ya kibinadamu katika mkoa wa Kharkiv kaskazini-mashariki mwa Ukraine, huku kukiwa na mashambulizi ya anga na ardhini yanayofanywa na Urusi.
Huku mashambulizi ya mabomu yanayofanywa na jeshi la Israel yakiendelea usiku kucha katika Ukanda wa Gaza, pamoja na uvamizi wa ardhini na mapigano makali, mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani WHO Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus ametoa tahadhari hii leo kwa wafanyakazi na wagonjwa katika hospitali iliyozingirwa ya Al-Awda iliyoko kaskazini mwa Gaza.
Ripoti mpya iliyotolewa leo Mei 21 na Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO inaashiria ongezeko kubwa la magonjwa ya zinaa duniani, huku kukiwa bado na changamoto za Virusi Vya Ukimwi na homa ya ini. Mathalani mwaka 2022, Nchi Wanachama wa WHO ziliweka lengo kubwa la kupunguza idadi ya kila mwaka ya maambukizi ya kaswende kwa watu wazima mara kumi ifikapo 2030, kutoka watu milioni 7.1 hadi milioni 0.71.
Inahukumu kesi za uhalifu mkubwa zaidi, inahakikisha waathiriwa wanapata haki, inaendesha kesi kwa haki na kumsaidia mahakama za kitaifa ni miongoni mwa majukumu muhimu ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ICC.
Kuanzishwa kwa ujumbe wa kimataifa wa usaidizi wa usalama kwa nchi ya Haiti kunasonga mbele huku taifa hilo la Karibea likiendelea kukabiliwa na mzozo wa ghasia na ukosefu wa usalama unaosababishwa na shughuli za magenge ya uhalifu.
Makala hii inamwangazia Meja Lilian Laizer, Mlinda amani wa Umoja wa Mataifa anayehudumu katika Kikosi cha 7 cha ulinzi wa amani kutoka Tanzania TANBAT 7 kinachohudumu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR chini ya MINUSCA ambao ni Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda amani nchini humo.
Patrick Uwingabire alianza kujifunza kuhusu ufugaji nyuki alipokuwa na umri wa miaka kumi na moja tu. Katika kijiji chao huko Huye, katika Mkoa wa Kusini wa Rwanda, mjomba na babu yake walimfundisha yote waliyojua kuhusu kutengeneza mizinga ya nyuki na kutunza viumbe hao muhimu.
Jukwaa la 10 la maji duniani linaendelea Bali nchini Indonesia mwaka huu likimulima mwasuala sita muhimu ambayo ni
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesikitishwa na kifo cha Seyyed Ebrahim Raisi, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Hossein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje, na wenzao katika ajali ya helikopta iliyotokea jana tarehe 19 Mei.