Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Mvulana akiwa amesimama kwenye daraja juu ya mto Sanate huko Higuey, moja ya maeneo yaliyoathiriwa zaidi na kimbunga Fiona huko Jamhuri ya Dominika, Amerika ya Kati.
© UNICEF/Ricardo Rojas

Vimbunga: Asili ya majina hadi kuondolewa kwenye orodha

Hivi karibuni shirika la Umoja wa Mataifa la Hali ya Hewa duniani, WMO  kupitia kamati yake inayosimamia masuala ya vimbunga liliondoa katika orodha ya vimbunga ya kitropiki kwenye bahari ya Atlantiki majina Fiona na Ian. WMO kupitia taarifa yake hiyo iliweka bayana sababu za uamuzi huo kuwa ni madhara makubwa yaliyosababisha vimbunga hivyo huko Amerika ya Kati, Karibea, Marekani na Canada