Zaidi ya watu milioni 1 Msumbiji wameathirika na majanga ikiwemo kipindupindu: WHO
Zaidi ya watu milioni moja katika majimbo manane ya Msumbiji wameathirika na athari mbaya za kipindupindu, kimbunga Freddy na mafuriko yake, polio, janga la COVID-19 na janga la muda mrefu la kibinadamu kaskazini mwa nchi hiyo limesema shirika la afya la Umoja wa Mataifa duniani WHO.