Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Vijana hawa wa kikundi cha kuweka na kukopa cha Kyambogho II wilayani Kasese nchini Uganda wakijifunza stadi za uoakaji kama sehemu ya kujikwamua na COVID-19.
© UNICEF/Henry Bongyereirwe

Mradi wa Uganda Yield Fund wawasaidia wajasiriamali Uganda wakati wa COVID-19  

Uganda Yield Fund ambao ni ufadhili kutoka Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa maendeleo ya kilimo IFAD ikishirikiana na Muungano wa Ulaya, UE, na serikali ya Uganda, umeisaidia sekta binafsi nchini Uganda ambayo nayo imewezesha wajasiriamali wadogowadogo ili wasiathiriwe sana na hivyo kuwa na mnepo  hata katika mazingira ya Covid-19.