Wakulima viongozi Kigoma waelimika juu ya kilimo hifadhi
Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa –FAO- nchini Tanzania, chini ya programu ya pamoja ya Kigoma au Kigoma Joint Program, KJP wameendesha mafunzo ya kilimo hifadhi kwa wakulima mkoani Kigoma.