Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Wala Matari mwenye umri wa miaka 29, aliyewahi kuwa mateka wa magaidi, akiwa kanisani na watoto wake katika kijiji cha Zamai kilichoko kaskazini mwa Cameroon
UN Photo/Eskinder Debebe)

Niliwavisha sketi na ushungi watoto wangu wa kiume ili wasichukuliwe na Boko Haram-Mwathirika wa ugaidi

Kuelekea siku ya kimataifa ya kumbukizi ya manusura wa ugaidi, ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kukabiliana na ugaidi UNOCT imechukua hatua ya kupaza sauti za manusura hao kutoka maeneo mbalimbali duniani akiwemo mwanamke mmoja raia wa Cameroon ambaye anasema alilazimika kuwavisha mavazi ya kike watoto wake wa kiume ili wasichukuliwe na magaidi wa Boko Haram.

Sauti
2'