Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Raia wa Venezuela wakiwa kwenye foleni wakisubiri kupata mhuri kwenye hati zao za kusafiria kwenye mpaka wa Ecuador na Peru. (13 Juni 2019)
UNHCR/Hélène Caux

Venezuela, waachilieni wafungwa na msikilize matakwa yao:Bachelet

Kamishina Mkuu wa Haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa akizungumza katika mwisho wa ziara yake ya kwanza nchini Venezuela hii leo , ametoa wito kwa serikali ya nchi hiyo kuwaachilia watu wote wanaoshikiliwa kwa kuandamana kwa amani . Michelle Bachelet pia ametangaza kwamba timu kutoka ofisini kwake itasalia mjini Caracas mji mkuu wa nchi hiyo ili kufuatilia hali ya haki za binadamu

Hapa ni kwenye moja ya soko nchini Thailand, wadudu wakiuzwa kama kitoweo.
P.B. Durst

Miongoni mwa tulizokuwa nazo wiki hii

Watu wenye ulemavu wakumbukwe katika suala la utalii-Mbunge Tanzania. Mtu 1 kati ya 3 duniani hana fursa ya kupata maji safi ya kunywa na huduma za kujisafi- UNICEF/ WHO. Ili kukomesha ukatili wa ngono katika mizozo juhudi zaidi zahitajika:EU/UN. Matibabu ya kifafa bado ni shida kubwa kwa nchi za kipato cha chini- WHO.  Nzige na Parara ndio chakula cha siku zijazo- Chef Ali