Tafadhali Msumbiji mwachieni huru mwanahabari Amade Abubacar
Watalaamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa hii leo mjini Geneva Uswisi wamezitaka mamlaka nchini Msumbiji kumwachia mara moja mwanahabari Amade Abubacar na pia tuhuma kuwa ametendewa vibaya zichunguzwe.