Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Millie Bobby Brown akiwa mjini New York wakati wa kutengeneza video ya siku ya mtoto mwaka 2018
UNICEF/UN0248272/Clarke

Leo ni siku kubwa kwa watoto kote duniani.

Wakati dunia ikiadhimisha siku ya mtoto duniani, Millie Bobby Brown ametangazwa kuwa balozi mwema mpya wa Shirika la kuhudumia watoto UNICEF.  Mtoto huyu wa umri wa miaka 14 anakuwa mtu mdogo zaidi kuwa na wadhifa huo wa balozi mwema wa UNICEF.