Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Kuchagiza amani Afghanistan ni wajibu wa kila mwananchi: UN

Kila hatua inayopigwa kuelekea amani nchini Afghanistan ni muhimu sana kwa sasa kulliko wakati mwingine wowote ulee. Wito huo umetolewa leo na  viongozi wa kijamii katika mdahalo unaoungwa unaofanyika mkoa wa Kusini wa Kandahar nchini humo na kuungwa mkono na Umoja wa wenye  lengo la kumulika mbinu za kutanzua mgogoro na kujenga mshikamano wa jamii.

UN News/Assumpta Massoi

Methali ya ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno sasa ni dhahiri huko Kenya

Mkaa, mkaa, mkaa tena mkaa utokanao na miti unatajwa kusababisha uharibifu mkubwa wa mazingira kwa sababu watu wanakata miti na hivyo kuharibu misitu. Misitu ni muhimu siyo tu katika kuweka bayonuai inayohitajika na lishe kwa binadamu, Wanyama na mimea, bali pia hufyonza hewa ya ukaa ambayo inazidi kuongeza ukubwa wa tundu la ozoni kwenye anga kuu.

Sauti
6'11"