Drogba aanza kampeni ya uchaguzi huru na wa haki duniani
Mwanasoka mashuhuri duniani Didier Drogba leo ameanza kampeni ya kimataifa ya kutanabaisha jinsi uchaguzi huru na wa haki unavyoweza kuwa nyenzo muhimu ya kuzitoa nchi masikini kabisa duniani kutoka kwenye ufukara huo.