Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Asia na Pacific hatarini kutokana na majanga asili:UM

Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa inaonyesha kuwa nchi zilizo barani Asia na maeneo ya Pacific ziko kwenye hatari ya kukumbwa na majanga ya kawaida kuliko zingine zilizo maeneo mengine ya ulimwengu huku watu wanaoishi kwenye nchi hizo wakiwa na uwezekano mara nne zaidi ya kuathiriwa na majanga hayo kuliko wanaoishi barani Afrika na mara 25 kuliko watu wanaoishi barani Ulaya au Amerika.

Urithi wa sauti na picha ni muhimu:UNESCO

Shirika la Umoja wa Mataifa la elimu, sayansi na utamaduni UNESCO leo katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya urithi wa sauri na picha limetoa wito wa kuongeza juhudi za kuhifadhi kumbukumbu muhimu zilizoko katika njia ya sauti na picha.