Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Rais wa Brazil ajiunga na kampeni ya FAO ya kupambana na njaa duniani

Rais Luiz Lula da Silva wa Brazil amejiunga na kampeni ya kimataifa ya kupambana na njaa iliyotayarishwa na idara ya Chakula na Kilimo FAO, kwa kutiasini jina lake kwenye waraka ya kimataifa ya FAO ya kupambana na njaa iliyopewa jina la "bilioni1njaa" na akapuliza firimbi manjano ya kampeni hiyo iliyopewa jina la " firimbi dhidi ya njaa".