Zaidi wa wakimbizi 100,000 kutoka Afghanistan warejea nyumbani mwaka huu
Idadi ya wakimbizi wa Afghanistan wanaorejea makwao kutoka Pakistan na Iran imepanda na kufikisha wakimbizi 100,000 mwaka huu ikiwa ni mara mbili zaidi ya mwaka uliopita kulinganana ripoti ya umoja wa mataifa.