Mpango mpya wa UM nchini DR Congo MUNUSCO umeanza rasmi leo
Mpango mpya wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo MUNUSCO leo tarehe mosi Julai ndio unaanza kazi rasmi kuchumua nafasi ya MONUC.
Mpango mpya wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo MUNUSCO leo tarehe mosi Julai ndio unaanza kazi rasmi kuchumua nafasi ya MONUC.
Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu UNFPA Thoraya Ahmet Obaid amesema utamaduni ni kuhusu kuhodhi mabadiliko na hakuna mabadiliko yatakayokuja kutoka nje.