Maelfu waendelea kusambaratishwa na machafuko jimbo la Darfur
Wafanyakazi wa misaada kwenye jimbo la Darfur Magharibi mwa Sudan wanasema mapigano yanayoendelea baiana ya makundi mbalimbali yenye silaha yameongezeka tangu mwezi Mai.
Wafanyakazi wa misaada kwenye jimbo la Darfur Magharibi mwa Sudan wanasema mapigano yanayoendelea baiana ya makundi mbalimbali yenye silaha yameongezeka tangu mwezi Mai.
Umoja wa Mataifa umethibitisha kuwa gari lake limeshambuliwa kwa risasi asubuhi ya leo mjini Kabul Afghanistan na kusababisha kifo cha mfanyakazi wake mmoja.
Uwiano mkubwa katika uchumi wa kimataifa unahitajika ili kuufanya uchumi kuwa imara. Hayo ni kwa mujibu wa matokeo ya utafiti wa jamii na uchumi kwa mwaka 2010 ambayo yametolewa leo na Umoja wa Mataifa.
Uchaguzi wa kwanza huru kufanyika nchini Guinea tangu nchi hiyo ilipopata uhuru umefanyika jana na kusifiwa na Umoja wa Mataifa.
Shirika la afya duniani WHO leo limezindua mtandao wa kimataifa wa miji kuthamini wazee kama sehemu ya kwenda sambamba na ongezeko la idadi ya vikongwe.
Mwakilishi maalimu wa Umoja wa Mataifa Richard Falk ameitaka Israel kuzuia ukiukaji zaidi wa sheria za kimataifa Mashariki mwa Jerusalem.
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UHNCR linasema hali kusini mwa Kyrgystan imesalia kuwa ya utulivu.
Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na kuratibu masuala ya kibinadamu OCHa imesema kuna haja ya haraka ya kupatikana dawa nchini Kyrgystan.
Kura za uchaguzi wa Rais zinaendelea kuhesabiwa nchini Burundi huku kukiwa na wasiwasi baada ya jana usiku kutokea milipuko ya guruneti katika eneo lenye watu wengi.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amezitaka pande zote nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati kuendelea na maandalizi ya uchaguzi wa Rais na wabunge.