Mkuu mpya wa afisi ya UNAMID awasili Darfur
Mkuu mpya wa afisi ya pamoja ya Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa huko Darfur, UNAMIND, Profesa Ibrahim Gambari aliwasili mjini El Fasher, Darfur Jumatatu, na kukutana na maafisa wa makao makuu na kukagua gwaride la walinda amani katika jimbo hilo.