KM azungumza na waandishi habari juu ya ziara yake ijayo katika Sudan, Chad na Libya
Ijumanne, Agosti 28 (2007) Katibu Mkuu (KM) wa Umoja wa Mataifa (UM) Ban Ki-moon alikuwa na mazungumzo na waandishi habari katika Makao Makuu juu ya ziara yake katika mataifa ya Chad, Libya na Sudan kusailia kipamoja na viongozi wa mataifa haya juu ya taratibu zitakazosaidia kurudisha utulivu na suluhu ya kuridhisha kuhusu tatizo la Darfur. KM alianza mazungumzo kwa kuelezea sababu hasa zilizomhamasisha yeye binafsi kuamua kufanya ziara hii: