Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Sudan kupata huduma za afya kutoka serikali ya Japan

Akina mama na watoto wa kaskazini mwa Sudan watafarijika hivi sasa kwa kuweza kupata machanjo muhimu ya kuokoa maisha na madawa ya malaria pamoja na huduma za afya kutokana na msaada kutoka serekali ya Japan wa dola milioni 4.5 ulokabidhiwa UNICEF. Shirika la watoto linaeleza kua msaada huo utasaidia kuimarisha afya ya kiasi ya watu milioni 3 na nusu.

Haki za walemavu

Wiki hii kwenye Umoja wa Mataifa wajumbe kutoka pembe zote za dunia wanakutana hapa New York katika juhudi za kukamilisha mkataba wa kimataifa juu ya haki za walemavu.

UKIMWI - Mkutano wa Toronto

Suala la wanawake na watoto ilipewa kipaumbele kwenye mazungumzo ya Toronto, hasa kulitolewa mwito kuwapatia wanawake mamlaka zaidi ili waweze kujikinga kutokana na ghasia na tumiaji nguvu dhidi yao.

UKIMWI - Mkutano wa Toronto

Suala la wanawake na watoto ilipewa kipaumbele kwenye mazungumzo ya Toronto, hasa kulitolewa mwito kuwapatia wanawake mamlaka zaidi ili waweze kujikinga kutokana na ghasia na tumiaji nguvu dhidi yao.

UKIMWI - Mkutano wa Toronto

Suala la wanawake na watoto ilipewa kipaumbele kwenye mazungumzo ya Toronto, hasa kulitolewa mwito kuwapatia wanawake mamlaka zaidi ili waweze kujikinga kutokana na ghasia na tumiaji nguvu dhidi yao.