Nilikuwa na ujauzito wa miezi tisa nyumba yangu ilipopigwa bomu – Mkimbizi Sudan
Sara alikuwa na ujauzito wa miezi 9 wakati bomu lilipopiga nyumba yake na kumlazimu kukimbia na hatimaye kujifungua mtoto wake peke yake bila uangalizi wowote wa kitabibu.