Kuwekeza katika mtandao thabiti wa intaneti kutaimarisha ukuaji jumuishi na endelevu Afrika: UN
Nchi za Afrika zimechagizwa kuwekeza katika kujenga mnepo wa miundombinu thabiti ya ya mtandao wa intaneti ili kutumia fursa za kidijitali na kuharakisha mageuzi ya kijamii na kiuchumi barani humo.