Msaada wa haraka unahitaji kwa wananchi waliozungukwa na maji ya mafuriko Sudan Kusini
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limeonya hali Sudan Kusini huenda ikawa mbaya zaidi ifikapo mwezi Mei mwaka huu iwapo msaada wa haraka hautapatikana kusaidia wananchi wanaoishi katika maeneo yakiyozingirwa na maji ya mafuriko ya muda mrefu.