Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Habari Mpya

Mradi wa FAO wa uhakika wa chakula (PESA) katika sekta ya kilimo, mifugo, maendeleo vijijini, uvuvi na kilimo
© FAO-Magnum Photos/Alex Webb

FAO yakidhi kiu ya wafugaji na wakulima huko Togo

Maji ni hai ni kauli ambayo imethibitika kwa wakazi wa jimbo la Dankpen nchini Togo, baada ya Umoja wa Mataifa kupitia shirika lake la chakula na kilimo, FAO na serikali, kukarabati bwawa linalotumika hivi sasa kwa shughuli siyo tu za umwagiliaji, bali pia maji kwa wanyama na utalii.

Sauti
1'55"