Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Mahojiano

UN News

Dijitali mkombozi kwa mtoto wa kike

Mkutano wa 67 wa kamisheni ya hali ya wanawake duniani CSW67 umekunja jamvi kwenye makao makuu ya UN jijini New York, Marekani na maudhui yalikuwa uvumbuzi, mabadiliko ya kiteknolojia, na elimu katika zama hizi za kidigitali kwa ajili ya kufikia usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake na wasichana wote. Miongoni mwa walioshiriki ni Elionora Emiel Wilfred, mwanafunzi wa kidato cha 4 katika shule ya sekondari ya Mtakatifu Thereza wa Avila mkoani Kilimanjaro nchini Tanzania. Alizungumza na Selina Jerobon wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa mataifa.

Sauti
5'25"