Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Mahojiano

UN News/Assumpta Massoi

Methali ya ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno sasa ni dhahiri huko Kenya

Mkaa, mkaa, mkaa tena mkaa utokanao na miti unatajwa kusababisha uharibifu mkubwa wa mazingira kwa sababu watu wanakata miti na hivyo kuharibu misitu. Misitu ni muhimu siyo tu katika kuweka bayonuai inayohitajika na lishe kwa binadamu, Wanyama na mimea, bali pia hufyonza hewa ya ukaa ambayo inazidi kuongeza ukubwa wa tundu la ozoni kwenye anga kuu.

Sauti
6'11"