Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Mahojiano

Picha ya UN News/Patrick Newman

Kazi ya Ulinzi wa amani ya UM imefikisha miaka 70.

 

Mwaka huu   Umoja wa Mataifa umeadhimisha miaka 70 ya kuanza kazi rasmi hizo ambazo zimewahusisha wanaume na wanawake ambao wanatumwa sehemu mbalimbali na majukumu tofauti. Katika operesheni hizo 57 zimefanyika   tangu mwaka 1988. Pia operesheni nyingi zimetokea barani Afrika.

Walinda amani hao kila mmoja anaiona shughuli hiyo kivyake.Mmoja wa walinda amani wa kikosi hicho anaelezea jinsi kazi ilivyo. Siraj Kalyango  wa Idhaa hii amezungumza  nae na kuanza kujitambulish ni nani na anafanya kazi wapi.

Sauti
3'33"