Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Mahojiano

UNAMID/Hamid Abdulsalam

Sasa UN na AU zatekeleza ushirikiano kwa vitendo

Umoja wa Mataifa, UN na Muungano wa Afrika, AU wameamua kushirikiana kwa kina ili kusaka suluhu kwenye mizozo na hii imeanza kutekelezwa huko Sudan ambapo ujumbe wa pamoja wa viongozi wa UN na AU uko ziarani nchini humo kutathmini utendaji wa ujumbe wa pamoja wa taasisi hizo huko Darfur, UNAMID.

Sauti
3'13"