Ali Mufuruki asema viwanda ndio suluhu ya AfCFTA
Matumaini ya maendeleo ya kiuchumi barani Afrika yamepigiwa chepuo na hatua ya hivi karibuni ya kupitishwa kwa azimio la Kigali la Muungano wa Afrika linaloridhia kuanzishwa kwa eneo huru la biashara barani humo.