Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Syria

Baba na mwanae wakiwa wamebeba hema la familia kwenye kambi ya Kerama huko Kaskazini mwa Syria karibu na eneo la Bab Al-Hawa mpakani na Uturuki.(Maktaba)
UNHCR

Kutopitishwa azimio la Baraza la Usalama ni hatari kwa Wasyria 

Baada ya jana Jumanne nia ya Baraza la Usalama kupitisha azimio ambalo ningeruhusu uvushaji misaada ya kibinadamu katika kivuko cha Bab al-Hawa kwenye mpaka wa Syria na Uturuki kaskazini-magharibi mwa Syria ili ikaokoe maisha ya wananchi wa nchi hiyo ambao wamekuwa kwenye zaidi ya miaka 12 ya vita kukwama kutokana na Urusi kupiga kura ya turufu kulipinga azimio hilo lingerefusha operesheni hiyo kwa miezi tisa mbele baada ya kufikia ukomo juzi tarehe 10 Julai, hofu sasa ni kuwa matokeo yake yatakuwa maumivu zaidi kwa wananchi wa Syria. 

Sauti
2'6"
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres (kushoto), anashiriki mkutano na Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Ulaya mjini Brussels, Ubelgiji.
© UNRIC/Miranda Alexander-Webber

Katibu Mkuu UN atoa wito kwa wafadhili kutoa fedha kusaidia Wasyria

Kwa zaidi ya muongo mmoja, watu wa Syria hawajaona chochote isipokuwa kifo, uharibifu na kukata tamaa. Watu nusu milioni wamefariki katika mzozo wa Syria. Asilimia 90 ya Wasyria wanaishi chini ya mstari wa umaskini. Mamilioni ya watu wanahitaji msaada wa kibinadamu. Na mnamo Februari mwaka huu, Wasyria pia walipata tetemeko kubwa la ardhi, ambalo lilizidisha hali yao mbaya. 

Watoto wakilala katika msikiti ulioko katika wilaya ya Al-Midan ya Aleppo, Syria
© UNHCR/Hameed Maarouf

Ulinzi wa raia unasalia kuwa ndoto Syria: Tume ya uchunguzi ya UN

Ripoti mpya iliyotolewa leo na tume ya Umoja wa Mataifa ya uchunguzi nchini Syria inasema pande zote katika mzozo unaondelea nchini humo zimetekeleza ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na ukatili katika miezi ya kuelekea tetemeko kubwa la ardhi kuwahi kushuhuduwa kwa zaidi ya karne katika ukanda huo, na kuendeleza muongo ulioghubikwa na mwenendo wa kushindwa kuwalinda raia wa Syria.

Watoto milioni 3.7 walioathirika na tetemeko Syria wanakabiliwa na zahma kubwa
UN News

Watoto milioni 3.7 walioathirika na tetemeko Syria wanakabiliwa na zahma kubwa: UNICEF

Watoto milioni 3.7 ambao walinusurika na matetemeko ya ardhi ya tarehe 6 Februari mwaka huu katika maeneo yaliyoathirika nchini Syria wanakabiliwa na ongezeko la vitisho kadhaa vya zahma kubwa, ameonya leo Mkurugenzi mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF, Catherine Russell akihitimisha ziara yake ya siku mbili nchini humo.