Masaibu ya kutakiwa kuhama kila uchao yanaendelea Gaza
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hii leo linaendelea na siku ya pili ya mkutano wake wa kutafuta namna ya kumaliza mzozo mbaya unaoendelea huko Gaza huku kukiwa na kuongezeka kwa mvutano huko Mashariki ya Kati.