Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Makala Maalum

Hussein Juma Hassan mnufaika wa mradi wa ILO wa kutambua na kurasimisha mafunzo ya awali anasema anapenda zaidi kazi ya kuchomelea vyuma katika malori na matrekta.
© ILO/OIT Belinda Japhet

Simulizi ya Hussein Juma Hassan: Kufeli masomo si kufeli maishani

Nilipopata fursa ya kusoma ili nipate cheti cha kutambuliwa rasmi kuwa mchomeleaji vyuma mwenye stadi, sikuchelea bali nilikuwa na hamu ya kuchukua fursa hiyo. Awali sikuwa na uthibitisho wa stadi hiyo na uzoefu niliokuwa nao ulitokana na kufanya kazi hii kwa miaka 25 na kujifunza nikiwa kazini. Ni simulizi ya Hussein Juma Hassan kutoka Zanzibar, Tanzania, baba wa familia ya mke na watoto 6.

Ales Bialiatski wa pili kushoto wakati wa hafla ya tuzo ya Wlodkowic kenye bunge la Poland mwaka 2014
© Michał Józefaciuk

Washindi wa tuzo ya amani ya Nobel 2022 watangazwa 

Kamati ya tuzo ya amani ya Nobel ya Norway leo imetangaza washini wa tuzo ya amani ya Nobel kwa mwaka 2022 kuwa ni "Mtetezi wa haki za binadamu Ales Bialiatski kutoka Belarus, shirika la haki za binadamu la Urusi Memorial na shirika la haki za binadamu la Ukraine Center for Civil Liberties ambao wanawakilisha jumuiya za kiraia katika nchi zao.”