Fahamu ukweli kuhusu ukeketaji(FGM)
Mambo muhimu
• Ukeketaji unahusisha uondoaji wa sehemu au sehemu yote ya siri ya nje ya mwanamke au kuweka jeraha lingine kwa viungo vya uzazi vya mwanamke kwa sababu zisizo za kimatibabu.
Mambo muhimu
• Ukeketaji unahusisha uondoaji wa sehemu au sehemu yote ya siri ya nje ya mwanamke au kuweka jeraha lingine kwa viungo vya uzazi vya mwanamke kwa sababu zisizo za kimatibabu.
Ingawa Malengo ya Maendeleo Endelevu yanahimiza kuwa hakuna mtoto anayepaswa kuachwa nyuma. Lakini utafiti uliofanywa na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumiwa watototo UNICEF unaonesha kuwa kati ya watoto milioni 240 wenye ulemavu duniani, nusu hawajawahi kuhudhuria shule, takriban theluthi moja hawapati chakula bora na chakutosha na pia watoto wenye ulemavu wanawakilishwa kwa njia isiyo sawa na wengi wao wanaachwa nyuma.
Taarifa iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF inasema hali ya utapiamlo nchini Somalia imefurutu ada ambapo Watoto milioni 1.4 karibu nusu ya Watoto wote wenye umri wa chini ya miaka mitano nchini humo wanauwezekano mkubwa wa kupata utapiamlo.
Tarehe 08 Febriuari ni siku ya Mtandao Salama duniani. Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF linatambua kuwa dunia ipo katika wakati ambao mtandao unaenea karibu kila nyanja ya maisha.